MD Digital

Thursday, February 19, 2015

MKUTANO WA NNE WA PSPF WAMALIZIKA LEO MJINI DODOMA

Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Posta, Sabasaba Moshingi, akitoa mada, kuhusu benki hiyo inavyoweza kuwasaidia wanachama wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, kutokana na ushikiano wa kibiashara baina ya taasisi nhizo mbili, wakati wa mkutani mkuu wa nne wa wanachama na wadau wa PSPF mjini Dodoma. Mkutano huo wa siku mbili umefungwao Alhamisi Februari 19, 2015.
Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Adam Mayingu, akisikiliza kwa makini majadiliano ya wanachama na wadau wa Mfuko huo wakati wa mkutano mkuu wa nne wa wanachama na wadau wa PSPF mjini Dodoma ,leo Alhamisi Februari 19, 2015.
Kaimu mkurugenzi wa fedha na utawala wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Yahaya Ally, akitoa taarifa ya fedha ya Mfuko huo wakati wa mkutano wa nne wa wanachama na wadau wa PSPF, mjini Dodoma. Mkutano huo ulioanza Februari 18, umefungwa leo Alhamisi Februari 19, 2015
Dkt.Bill Kiwia, akijibu hoja mbalimbali za washiriki wa mkutano mkuu wa nne wa wanachama na wadau wa Mfuko wa Pensehni wa PSPF kuhusu ushindani wa mifuko ya hifadhi ya jamii na tahadhari ya kuchukua a,kitolea mfano wa Tanzania mjini Dodoma leo Alhamisi Februari 19, 2015
Baadhi ya washiriki wa mkutano mkuu wa nne wa wanachama na wadau wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, wakifuatilia mkutano huo leo, wakati wa ufungaji
Mkurugenzi wa Uendeshaji wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Neema Muro, akitoa mada kuhusu huduma zitolewazo na Mfuko huo kwa wanachama wake, wakati wa mkutano mkuu wa nne wa wanachama na wadau mjini Dodoma.
Baadhi ya wajumbe wa kamati ya maandalizi ya mkutano mkuu wa nne wa Wanachama wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, wakiongozwa na Meneja wa Masoko na Mawasiliano wa Mfuko huo, Costantina Martin (wapili kushoto), wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kufanikisha mkutano huo kwa mafanikio makubwa. Mkutano huo umemalizika leo Alhamisi Februari 19, 2015

Mkurugenzi wa Uwekezaji wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Gabriel Silayo, akitoa mada kuhusu uwekezaji katika sekta mbalimbali uliofanywa na Mfuko huo, wakati wa mkutano mkuu wa nne wa wanachama na wadau wa PSPF mjini Dodoma. Mkutano huo umemalizika leo
Kikundi cha wasanii mkoani Dodoma, kikitoa burudani kwa wajumbe wa mkutano mkuu wa nne wa wanachama na wadau wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, mjini Dodoma. Mkutano huo umemalizika leo

No comments: