MD Digital

Thursday, December 11, 2014

MDAU ANGELA AKILIMALI NA WENZAKE WALA NONDO YA MAWASILIANO YA UMMA

Kaimu Mgukurugeni wa Uhuru FM, Angela Akilimali (katikati) akiwa na wahitimu wenzake wa Shahada ya Mawasiliano ya uma ya Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT) katika mahafali yaliyofanyika hivi katibuni mkoani Kibaha mkoani Pwani.  Kushoto ni Hemed Mbaraka na Mganwa Nzota.
 Wanahabari wa morogoro nao walikula nondo zao katika mahafali hayo.
 Angela Akilimali akiwa na mumewe Hassan Hemedi Chamshama baada ya kumkabidhi shada la maua wakati akimpongeza.
 Toka kushoto ni Idda Mushi wa ITV/Redio One - Morogoro, Angela Akilimali wa Uhuru FM na Hana Mayige  wa TBC wakipozi kwa picha wenye furaha baada ya kula nondo zao.
 Angela akiwa na dada yake kipenzi Rose-mary Duhia aliyefika Kibaha kutoka Arusha kumpongeza mdogo wake.
 Angela akipata pongezi kutoka kwa binti yake Salma Chamshama wakati wa tafrija maalum ya kumpongeza iliyoandaliwa na familia yake.
 Picha ya familia ya Angela wakiwa pamoja na mama yao mzazi.
 Mashostito wakiwa na zawadi mkoni kabla ya kumkabidhi mhitimu.
 Wahitimu wakifurahia tafrija ...
 Wahitimu wakiwa pamoja ukumbini kusapoti Ze Big Boss.
 Mduara ulipigwa na wakazunguluka.
 Angela akizungumza kwa niaba ya wahitimu wenzake
 Wadau kutoka Uhuru FM wakifuatilia matukio ya sherehe hiyo.
 Keki ilikatwa na wahitimu walijinoma ...

 Mziki uliendelea....
 wafanyakazi wa Uhuru FM wakipiga picha ya pamoja na wahitimu.
 Neno lililotoka kwaajili ya wahitimu....
 Hongera kwa wahitimu ilitolewa...
Watu weeeeeeeee ni raha iliyoje!!