MD Digital

Wednesday, January 7, 2015

LAURIAN CHOLOBI NA FELISTER SANGA WALIVYOMEREMETA SIKU YA NDOA YAO

 ILIKUWA ni siku ya furaha sana kwa Laurian Cholobi na mkewe Felister Sanga wakiwa na furaha baada ya kufunga ndoa yao takatifu katika Kanisa Katoliki la Mtakatifu Immaculata parokia ya Upanga, Dar es Salaam hivi karibuni na baade katika tafrija iliyofanyika ukum,bi wa Urafiki. 
 Photos Production: MD Digital Company 
+255 755 373999/+255 717002303 (Mroki Mroki).
 wapambe wakimeremeta
  maharusi wakitoka kanisani...
 maharusi wakipiga picha na wasimamizi wao.
 Laurian Cholobi Panguwinga akivutana na biharusi na wapambe wake.
 Nduigu jamaa na maharusi.
 Maharusi wakiingia ukumbini
 Bwabna harusi laurian Cholobi akifurahi na DC wa Bahi, Betty Mkwasa.
 Ndugu wa bwana harusi wakiwa ukumbini..
 Waalikwa wakiwa ukumbini.
 Bi harusi akiwa na Felister akiwa mama mkwe wake
 Picha ya familia ya maharusi
  Keki ilikatwa na ndugu wote pamoja na maharusi.
Mroki Mroki 'Father Kidevu' - akipiga picha na maharusi pamoja na wasimamizi wao.

No comments: