MD Digital

Sunday, November 2, 2014

DK KINGWANGALA ASHIRIKI BONANZA LA MBIO ZA AMANI DAR ES SALAAM LILILOSHIRIKISHA KLABU ZA MAZOEZI

 Mbunge wa Nzega mkoani Tabora ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamiti ya Kudumu ya Bunge ya TAMISEMI, Dk. Hamisi Kingwangala(watatu kulia mstari wa mbele) akishiriki katika mazoezi ya viungo na umoja wa vilabu vya mazoezi Dar es Salaam (FAITA) mara baada ya kupokea bonanza na mbipo za amani zilizofanyika jana Dar es Salaam kuanzia Uwanja wa Taifa hadi viwanja vya Mnazi Mmoja. 
 Mbunge wa Nzega mkoani Tabora ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamiti ya Kudumu ya Bunge ya TAMISEMI, Dk. Hamisi Kingwangala(kulia) akipokea vilabu m,balimbalimbali vya joging vya Dar es salaam vilivyoshiriki bonanza na mbio za amani zilizofanyika leo kuanzia Uwanja wa Taifa hadi viwanja vya Mnazi Mmoja Dar es Salaam chini ya uratibu wa FAITA Joging & Sports Club.
  Mbunge wa Nzega mkoani Tabora ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamiti ya Kudumu ya Bunge ya TAMISEMI, Dk. Hamisi Kingwangala(watatu kulia mstari wa mbele) akishiriki katika mazoezi ya viungo na umoja wa vilabu vya mazoezi Dar es Salaam (FAITA) mara baada ya kupokea bonanza na mbipo za amani zilizofanyika jana Dar es Salaam kuanzia Uwanja wa Taifa hadi viwanja vya Mnazi Mmoja.
 Wana joging wakiimba wimbo wa Taifa mara baada ya kuwasili viwanja vya Mnazi Mmoja Dar es Salaam.
 Viongozi na Mgeni rasmi Dk. Hamisi Kingwangala wakishiriki kuimba wimbo huo wa taifa.
 Wimbo ukiimbwa
Mazoezi ya viongo yaliendelea ....
Mgeni rasmi Mbunge wa Nzega mkoani Tabora ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamiti ya Kudumu ya Bunge ya TAMISEMI, Dk. Hamisi Kingwangala(kushoto) na Mwenyekiti wa MBT, Dionis Malinzi wakisaini vyeti.
Wanamichezo hao pia walipata fursa ya kuachangia damu katika Kitengo cha Damu salama cha serikali.
Mbunge wa Nzega mkoani Tabora ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamiti ya Kudumu ya Bunge ya TAMISEMI, Dk. Hamisi Kingwangala akitoa hotuba yakea ambapo alihimiza vilabu hivyo vya joging kuanzisha Saccos ili waweze kusaidiana kiuchumi.
Mbunge wa Nzega mkoani Tabora ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamiti ya Kudumu ya Bunge ya TAMISEMI, Dk. Hamisi Kingwangala akiwa na wana joging.
Mbunge wa Nzega mkoani Tabora ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamiti ya Kudumu ya Bunge ya TAMISEMI, Dk. Hamisi Kingwangala akimkabidi Mwenyekiti wa BMT, Dionis Malinzi chezti huku Mwenyekiti wa zamani wa BMT, Kanali Mstaafu Idd Kipingu akishuhudia (kulia).
Vyeti vikitolewa kwa Klabu za Joging zilizoshiriki bonanza hilo ikiwa ni Bonanza la tatu kufanyika tangu FAITA ianzishwe.
Mbunge wa Nzega mkoani Tabora ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamiti ya Kudumu ya Bunge ya TAMISEMI, Dk. Hamisi Kingwangala akisaidiwa na Afisa Muuguzi kutoka kitengo cha Damu Salama, Seline Sahani, kuchangia damu baada ya kupokea mbio za Klabu za joging Dar es Salaam zilizoshiriki mbio za amani.

No comments: