MD Digital

Monday, January 6, 2014

MAZISHI YA DKT WILLIAM MGIMWA

 Kaimu Waziri wa Fedha Mhe Saada Mkuya akimpa mkono wa pole Godfrey Mgimwa, mmoja wa watoto wa Marehemu Dkt William Mgimwa, wakati wa mazishi kijijini Magunga jimbo la Kalenga mkoani Iringa leo
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimpa mkono wa pole Godfrey Mgimwa, mmoja wa watoto wa Marehemu Dkt William Mgimwa, wakati wa mazishi kijijini Magunga jimbo la Kalenga mkoani Iringa leo
 Godfrey Mgimwa, mmoja wa watoto wa Marehemu Dkt William Mgimwa, akiongea kwa niaba ya familia wakati wa mazishi kijijini Magunga jimbo la Kalenga mkoani Iringa leo
 Sehemu ya Wabunge waliohudhuria mazishi hayo leo
 Waziri Mkuu Mhe Mizengo Pinda akiongea kwa niaba ya Serikali
 Sehemu ya Wabunge na Mawaziri waliokuwa katika mazishi hayo
 Kaimu Waziri wa Fedha Mhe Saada Mkuya akiongea msibani hapo
 Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano Mhe Anne Makinda akiongea
 Waziri wa Fedha wa Zanzibar Mhe Omar Yusuf Mzee akiongea katika mazishi hayo
 Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Ndg Philip Mangula akisema machache
 Waombolezaji wakiwa msibani hapo
 Sehemu ya wananchi wa Kalenga wakiwa msibani
 Vijana kwa wazee walifurika mazikono
 Sehemu ya umati wa wananchi wakiwa mazikoni hapo
 Mbunge wa Iringa Mjini Mchungaji Peter Msigwa akiongea kwa niaba ya kiongozi wa kambi ya upinzani Bungeni
 Mwenyekiti wa CCM Iringa akiongea
 Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dkt  Servacius B. Likwelile akisoma wasifu wa marehemu
 Mbunge wa Namtumbo na Jirani ya marehemu Mhe Vita Kawawa akiweka shada la maua
 Katibu Mkuu Kiongozi Mstaafu Mhe Philemon Luhanji akiweka shada la maua
 Wakuu wa Wilaya mbalimbali wakiweka shada lao la maua
 Wazee Joseph Mungai na Mzee John Lamba wakiweka shada la maua kwa niaba ya Wazee wa Iringa
 Waombolezaji wakiweka shada lao la maua
 Wakurugenzi wa vitengo mbalimbali wizara ya fedha wakiweka mashada yao
 Wakuu wa vyombo vya fedha wakiweka mashada yao
 Wakuu wa Vyombo vya fedha wakiweka mashada yao kaburini
 Manaibu Waziri wa Fedha Mhe Janeth Mbene (kulia) na Mhe Saada Mkuya wakiweka shada lao
 Mkurugenzi Mkuu wa PPF Bw. William Erio na maofisa waandamizi wa Benki Kuu wakiweka mashada yao
 Makamishna wa fedha wakiweka shada lao
 Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue na Katibu Mkuu Wizara ya Fedha  Bw. Servacius B. Likwelile wakiweka shada lao
 Wabunge wa Iringa wakiweka shada lao
 Machifu wa Uringa wakiweka shada lao
 Wenyeviti wa kamati za kudumu za bunge wakiweka shada lao
 Makamishna wa Bunge wakiweka shada lao
 Mawaziri Profesa Anna Tibaijuka na Dkt Mary Nagu wakiweka mashada
 Katibu Mkuu wa CCM Ndg Abdulrahman Kinana akiweka shada la maua
 Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Ndg Philip Mangula akiweka shada
 Mbunge wa Iringa Mjini Mchungaji Peter Msigwa akiweka shada la maua
 Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Anne Makinda na Naibu wake Mhe Job Ndugai wakiweka shada lao la maua
 Waziri Mkuu Mhe Mizengo Pinda akiweka shada la maua
 Msaidizi maalum wa marehemu akiweka shada la maua
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mkewe Mama Salma Kikwete wakiweka shada lao la maua
 Watoto wa marehemu wakiweka mashada yao ya maua
 Mama Mzazi wa marehemu akiweka shada ya maua
 Monsinyori Julian Kingalawe akiweka shada la maua
 Mjane wa marehemu akiweka shada la maua
 Machifu wakiweka udongo kaburini
 Mawaziri, manaibu mawaziri na wabunge wakiweka udongo kaburini
 Mawaziri, manaibu mawaziri na wabunge wakiweka udongo kaburini
 Mawaziri, manaibu mawaziri na wabunge wakiweka udongo kaburini
 Mawaziri, manaibu mawaziri na wabunge wakiweka udongo kaburini
 Mawaziri, manaibu mawaziri na wabunge wakiweka udongo kaburini
 Katibu Mkuu wa CCM, Mawaziri, manaibu mawaziri na wabunge wakiweka udongo kaburini
 Mawaziri, manaibu mawaziri na wabunge wakiweka udongo kaburini
 Spika Anne makinda akiweka udongo kaburini
 Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Ndg Philip Mangula akiweka mchanga
 Waziri Mkuu Mhe Mizengo Pinda akiweka mchanga
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mkewe Mama Salma Kikwete akiweka mchanga kaburini


















 Rais Kikwete akitoa pole kwa wana kalenga
 Rais Kikwete akitoa mkono wa pole kwa Chifu
 Rais Kikwete akimfariji mjane wa marehemu
 Poleni sana
 Heshima za mwisho
 Rais Kikwete akimfariji Godfrey Mgimwa
 Rais Kikwete akimfariji mama mzazi wa marehemu

Rais Kikwete na Mama Salma Kikwete wakiweka shada lao la maua

Tuesday, December 31, 2013

TASWIRA ZA HAFLA YA KUKABIDHI RASIMU YA PILI YA KATIBA

 Meza kuu
 Sehemu ya wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba
 Jukwaa kuu la pili
 Sehemu ya wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba
 Waziri Mkuu Mstaafu Dkt Salim Ahmed Salim akiwa na wajumbe wenzie wa Tume na maofisa wa serikali
 Dkt Asha Rose Migiro, Mama Amne Salim na Mama Warioba
 Sehemu ya wananchi walioshuhudia tukio hilo la kihistoria
 Wananchi wakiwa katika hafla hiyo
 Wananchi wakifuatilia hafla hiyo
 Watangazaji wa TBC wakiwa kazini kurusha live tukio hilo
 Baadhi ya wazee mashuhuri katika hafla hiyo. 
 Wadau mbalimbali
 Wadau katika hafla hiyo
 Sehemu ya viongozi wa vyama vya siasa
 Wadau wa habari 
 Wanasheria nguli, Mzee Mark Bomani na Profesa Issa Shivji wakiwa miongoni mwa wadau
 Balozi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Mhe Alfani Mpango akijumuika na wadau
 Baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa na mabalozi
 Wadau na maafisa wa serikali
 Maafisa wa ofisi wa Masajili wa vyama
 Wadau
 Wadau na maafisa mbalimbali
 Makatibu wakuu
 Mawasiri wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar
 Mawaziri wa Bara na Zanzibar
 Mawaziri, wabunge na maafisa wa serikali
 Sehemu ya mawaziri wa bara na wa Zanzibar
 Msajili wa vyama vya siasa Jaji Mutungi (wa tatu kushoto) akiwa ameketi na wabunge na viongozi wa vyama mbalimbali 
 Sehemu ya waliohudhuria hafla hiyo
 Meza kuu ikimsikilia Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Mhe. Joseph S. Warioba 
 Rais Kikwete akimkabidhi Sir George Kahama nakala ya Rasimu ya Pili ya Katiba
 Rais Kikwete akiwakabidhi Mzee Hassan Nassoro Moyo na Jenerali Sarakikya nakala ya Rasimu ya Pili ya Katiba
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Ali Mohamed Shein akisoma hotuba yake
 Rais Kikwete akihutubia
 Wabunge na wadau wengine wakifurahia hotuba ya Rais Kikwete
 Rais Kikwete, Rais wa Zanzibar Dkt Ali Mohamed Shein na Makamu wa Rais Dkt Mohamed Ghalib Bilali wakiwapongeza wajumbe wa Tume kwa kazi nzuri
 Picha ya pamoja ya viongozi wakuu na wajumbe wa Tume
 Picha ya pamoja ya viongozi wakuu, wajumbe wa tume 
 Viongozi wakuu, viongozi wa vyama vya siasa na wajumbe wa Tume
 Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue akisalimiana na Mhe Tundu Lissu
 Wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba 
 Rais Kikwete akiongea na Mwenyekiti wa CUF Profesa Ibrahim Lipumba na Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi na Mbunge wa Kuteuliwa Mhe James Mbatia
Nikiripoti kutoka hapa katika viwanja vya Karimjee ni mimi.... wa Mlimani TV
PICHA NA IKULU